top of page

+255 755875778
Fax: 

Address:

St.Amedeus Secondary School

Po Box 1916

Kilema - Mandaka Road Moshi,

Kilimanjaro - Tanzania

ST ANEDEUS SECONDARY SCHOOL

 

Motto:  "Brave, skilful competence, Crown

 

Vision: "Holistic education and Development of character"

 

MAKOSA YANAYOWEZA KUSABABISHA KUFUKUZWA SHULE MARA

 

  • Wizi

  • Utoro

  • Uasherati, ubakaji na ushoga

  • Ulevi na matumizi ya madawa ya  kulevya

  • Uvutaji wa bangi

  • Makosa ya jinai

  • Kuharibu kwa makusudi mali ya umma

  • Kugoma, kuchochea na kuongoza au kuvunja amani na usalama

  • Kukataa adhabu kwa makusudi

  • Kukutwa na simu au line

  • Kudharau bendera ya Kanisa / Taifa

 

     N.B. 

 

    1.   Shule yetu hairuhusiwi wanafunzi kutunza fedha wao wenyewe.     Fedha

          zote za matumizi binafsi (“Pocket money”) huwekwa benki na kutolewa      

          kuendana na matumizi ya mhusika.

 

  • Hairuhusiwi kuingiza vyakula shuleni wakati wowote: ikilazimu leta kwa                                                                                                

          wanafunzi wote.

 

    3.   Kutembelea watoto ni mara mbili kwa mwaka;  yaani muhula wa kwanza   

          ni Jumamosi baada ya Pasaka na Muhula wa pili siku ya wazazi/mahafali

          (graduation).  Wakati mwingine hairuhusiwi

MALIPO NA MAHITAJI MENGINE

 

Malipo yote ya ada na pocket money yafanywe BENKI na kuwasilisha Pay-in-slip iliyoandikwa majina MATATU sahihi ya mwanafunzi na kidato. Hatupokei fedha mkononi tofauti na zile za vifaa vya madarani(stationary)

 

N.B.  Fedha ikishalipwa benki hairudishwi.

 

AKAUNTI YA ADA:

          Jina:                         CRDB

          Jina la Akaunti:       “Dom-ST. AMEDEUS SECONDARY”

          Namba ya Akaunti:   01J1041434600

          Tawi:                        Moshi Branch

 

AKAUNTI YA POCKET MONEY

          Jina:                         CRDB

          Jina la Akaunti:        ST. AMEDEUS SECONDARY SCHOOL

          Namba ya Akaunti:   0150041434600

          Tawi:                         Marangu Branch

CONTACT THE OFFICE OF ADVANCEMENT

School Vision

CONTACT US

bottom of page